• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Masasi District Council
Masasi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Asili ya Masasi
      • Historia ya Masasi Kiutawala
      • Orodha ya Viongozi
      • Ukubwa wa eneo
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Usafi wa Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Ugavi na Ununuzi
      • Sheria na Usalama
      • Nyuki
      • Tehama na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Agriculture
    • Construction Minerals
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Upimaji wa Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Huduma za kilimo
    • Huduma za mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Utawala na Mipango
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Elimu Afya na Maji
    • Ratiba
      • Vikao vya Kisheria vya Halmashauri
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • Jarida
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA YAIPONGEZA HALMASHAURI YA KIJIJI NAKARARA - KUFANIKISHA MRADI WA VYOO MATUNDU 10.

Posted on: May 9th, 2024

KAMATI YA FEDHA YAIPONGEZA HALMASHAURI YA KIJIJI NAKARARA - KUFANIKISHA MRADI WA VYOO MATUNDU 10.

Kamati ya fedha Halmashauri ya Wilaya Masasi imeipongeza Halmashauri ya Kijiji Cha Nakarara, iliyopo katika Kata ya Makong'onda kwa kushiriki kikamilifu katika Shughuli za kijamii ikiwemo ujenzi wa matundu 10 ya vyoo Katika Shule ya Msingi Nakarara.

Kamati imetoa pongezi hizo katika muendelezo wake wa kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo ambapo katika Shule ya Msingi Nakarara jumla ya kiasi Cha Fedha ikiwa ni Ruzuku ya Serikali  shilingi milioni 11,000,000.00 zilipokelewa kwa nyakati tofauti zikilenga ujenzi wa mradi wa vyoo Katika Shule ya Msingi Nakarara, ambapo awamu ya Kwanza tarehe 01/07/2023 shilingi milioni 8,000,000/= na tarehe 01/03/2024 wamepokea  shilingi milioni 3,000,000/=

"Mimi niwapongeze sana Kamati, mradi umetekelezwa vizuri, chamsingi kwamba yale matarajio tunayoyataka yawe Kweli kwa maana ikiwemo Milango iwekwe haraka ili Wanafunzi waanze kuvitumia vyoo hivyo, huku tukiangalia Namna nyingine ya kuongeza matundu mengine ya vyoo kwa ajili ya wavulana." Alisema Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Masasi Ndg.Ibrahimu Chiputula.

Edga Erio ni Afisa Mtendaji wa Kijiji Cha Nakarara akisoma taarifa ya mradi na utekelezaji wake mbele ya Kamati hiyo fedha amesema, hatua ya mradi huo hadi sasa tayari matundu 8 yapo katika hatua za mwisho za umaliziaji na matundu 2 kazi imeanza ya kufuatilia vifaa na Eneo la ujenzi limeandaliwa huku ujenzi huo ukitarajia kukamilika mwishoni mwa mwezi may

Amesema mafanikio hayo ni kutokana na ushirikiano mzuri wa wajumbe wa Kamati na Wananchi kushiriki kikamilifu Shughuli za kijamii, Ushirikiano wa viongozi wa Serikali na uongozi wa Shule na kata, ushirikiano wa Viongozi wa Serikali na wakuu wa Idara.

Hata hivyo pamoja na kuelezea mafanikio hayo Lakini pia akatumia fursa hiyo kuzitaja changamoto zingine zinazoikabili Shule hiyo ikiwemo vyoo bado ni tatizo kulingana na idadi ya Wanafunzi waliopo kwasasa hivyo yanahitajika matundu mengine ya vyoo 25, chumba kimoja Cha Darasa na Ofisi ya Mwalimu mkuu pamoja na uhitaji wa Waalimu watano.

Shule ya Msingi Nakarara ina jumla ya Wanafunzi 634, Wavulana wakiwa ni 318 na Wasichana ni 316.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MASASI DC 2025 January 14, 2025
  • MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA TAREHE 27 NOVEMBA, 2024 MASASI DC September 18, 2024
  • MAENEO YA UTAWALA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI September 18, 2024
  • FURSA YA MIKOPO INAYOTOLEWA NA MFUKO WA MIKOPO KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI November 12, 2021
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MASASI DC KWA KISHINDO:WATEMBELEA MIRADI MITANO YENYE THAMANI YA TSH.MILIONI 678,844,040.00

    May 19, 2025
  • WATENDAJI WA SERIKALI TEKELEZENI WAJIBU WENU WA KIKAZI,MSIJIHUSISHE NA MAMBO YA SIASA: BARAZA LA MADIWANI

    May 15, 2025
  • WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUFANIKISHA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 15, 2025
  • WATAALAMU MASASI DC WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA UJIBUJI HOJA ZA CAG.

    May 11, 2025
  • Angalia Zaidi

Video

KAIMU MKURUGENZI MASUMBUKO MTESIGWA AKABIZI OFISI KWA MKURUGENZI MPYA
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • RASIMU YA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FWDHA 2021/2022 MASASI DC
  • Mpango Mkakati wa halmashauri ya wilaya ya masasi 2016/2017-2020/2021
  • Taarifa ya Hesabu ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2015/16
  • Rasimu ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 Masasi DC
  • Uchunguzi wa Madai ya Korosho kwa Misimu ya 2016/17 NA 2017/18 Wilaya ya Masasi
  • Mpango Kzazi wa Manunuzi kwa mwaka wa Fedha 2017-2018 Masasi DC
  • Mwongozo wa Malalamiko
  • Sheria

Kurasa Mashuhuri

  • Ikulu
  • Mtwara Region
  • Hati ya Malipo (Salary Slip)
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • eGA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Masasi - Bomani

    Anuani ya Posta: S.L.P 60 Masasi

    Simu ya mezani: 023-2510031

    Simu ya kiganjani: 023-2510031

    Baruapepe za Watumishi: ded@masasidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa